SOKA: Simba Yamalizana Na Kinda wa Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Futaa.com South AfricaKwa mujibu wa taarifa kutoka nchini Kenya beki kisiki wa Gor Mahia Josh Onyango amesaini kandarasi ya miaka miwili na klabu Simba Sc

Onyago ambaye aliandika barua ya kuachana na Gor Mahia wiki mbili zilizopita anaelezwa kuwa atatua nchini wakati wowote kuanzia wiki hii

Josh alianza kuwika kwenye soka la Kenya mwaka 2018 na kufanikiwa kuitwa kwenye kikosi cha Harambe Stars kilichoshiriki michuano ya CAF nchini Misri
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad