AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Futaa.com South AfricaKwa mujibu wa taarifa kutoka nchini Kenya beki kisiki wa Gor Mahia Josh Onyango amesaini kandarasi ya miaka miwili na klabu Simba Sc
Onyago ambaye aliandika barua ya kuachana na Gor Mahia wiki mbili zilizopita anaelezwa kuwa atatua nchini wakati wowote kuanzia wiki hii
Josh alianza kuwika kwenye soka la Kenya mwaka 2018 na kufanikiwa kuitwa kwenye kikosi cha Harambe Stars kilichoshiriki michuano ya CAF nchini Misri
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK