Somalia : Mlipuko wa kujitoa muhanga waua tisa na kujeruhi 20

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu wasiopungua tisa wameuawa na takriban wengine 20 kujeruhiwa Jumamosi katika mlipuko wa bomu lililokuwa ndani ya gari mbele ya mlango wa kuingilia kwenye kituo cha kijeshi mjini Mogadishu, mashahidi na maafisa wa usalama wamesema.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad