AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maswali yalikuwa mengi jioni ya jana baada ya mahasimu wawili @wemasepetu na @kajalafrida kila mmoja kumpost mwenzie kupitia kurasa zao za Instagram, ikiwa swali kuu lilikuwa ni "Wamemaliza tofauti zao!?"
#LeoTenaYaCloudsFM imempata @stevenyerere2 na amethibitisha taarifa hizo na sasa wawili hao wako poa kama zamani...
"Mama ongea na Mwanawe ndio imewapatanisha imewaweka kiti kimoja na kuwapatanisha si Wema na Kajala tu bali hata Wema Sepetu na Aunty Ezekiel Wamepatanishwa"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK