TANZIA: Muigizaji Filamu ya 'Black Panther' Chadwick Boseman Amefariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 TANZIA: Muigizaji nyota wa filamu ya 'Black Panther' Chadwick Boseman (43) amefariki dunia baada ya kupambana na ugonjwa wa saratani ya utumbo mpana kwa miaka 4.

Boseman ambaye alicheza kama T'Challa kwenye filamu hiyo ya Black Panther, amefariki akiwa nyumbani kwake mjini Los Angeles huku akiwa amezungukwa na mkewe pamoja na familia yake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad