TCRA kujenga Kiwanda cha Kuzalisha Simu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema ifikapo Agosti mwakani itakuwa imeanzisha kiwanda cha kuzalisha simu janja ambazo zitauzwa kwa gharama nafuu na kuwawezesha watanzania kuzitumia kwa shughuli mbalimbali ikiwemo elimu na biashara.


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Mhandisi James Kilaba amesema haya Jijini Mbeya wakati akizungumza na waandishi wa habari , mara baada ya kufunguliwa mafunzo ya majuma matano, kwa Mafundi simu wa Mikoa ya Nyanda za juu kusini yanayolenga kuwajenga uwezo.


Aidha Mhandisi James kilaba ameeleza umuhimu wa Mafundi simu katika kuchangia pato la Taifa.


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bwana Albert Chalamila amefungua mafunzo haya na kudai kuwa uwekezaji uwekezaji unaofanywa na TCRA utakuwa na tija kwa Watanzania.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad