AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezaji Bernard Morrison apewa uhuru wa kujiunga na Simba SC baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema mkataba wake na Yanga SC una walakini
Simba ilishasambaza picha za usajili wa Mchezaji huyo raia wa Ghana kutoka, kutokea Yanga
Hata hivyo atapelekwa katika Kamati ya Maadili kwa utovu wa nidhamu, kutokana na kusaini kandarasi na Simba ili hali kesi yake ikiwa bado haijaamuliwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK