AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Khalid Mohammed almarufu TID amesema anasikitishwa na kitendo cha msemo wake kutumika kwenye kampeni za kisiasa bila yeye kuhusishwa na kutoa ruhusa ya kutumika kwa msemo huo.
Alizungumza kwenye kipande cha video alichokichapisha kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram amesema ifike wakati kazi za kisanii ziheshimiwe na watu wengine.
“Nimesikitishwa sana kwa kuona kwenye mitandao ya kijamii msemo wangu, ushairi wangu kutumika kwenye kampeni za kisiasa bila makubaliano yoyote na mimi, ninachoomba ni ifike muda usanii wetu utumike vizuri watu wasitumie bila makubaliano na mwenye kazi yake” amesema TID.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK