AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu ametembelea Ofisi ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kuchukua gari lake ambalo limehifadhiwa na Jeshi la Polisi Mkoa huo jaribio la mauaji dhidi ya Lissu la tarehe 7 September 2017.
Lissu ameambatana na mgombea mwenza wake Salum Mwalimu na alipokelewa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, SACP Giles Muroto.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK