Ukiona Haya Kwa Mkeo Kuwa Dikteta Haraka la Sivyo....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kama mkeo anasali kwa walokole au amehamia kusali kwa walokole ndugu yangu hakikisha unamdhibiti sana na mapema kabla hajaharibiwa asali akiwa anajitambua

Wachungaji wa Kilokole(wanajiita manabii) kwa sababu sadaka inayotolewa kanisani huwa ni ya kwao(tofauti na Roma na Sabato ambako sadaka inapelekewa uongozi wa juu)

Basi kipato cha wachungaji hawa hutegemea waumini zaidi katika utoaji wa sadaka zao.

Asilimia kubwa wamekuwa wakiwatumia wanawake kwa sababu ni wepesi kuhadaika!

Mke wako anajazwa upepo wa kiimani na kufikia kuwa na mapenzi na imani yaliyopitiliza mipaka!

Ukianza kuona mkeo anabadilika taratibu ndani maombi ya kukemea yanazidi,muda wa kanisani unazidi na matoleo yanazidi kule kanisani ndugu tangu kuwa dikteta ghafla na hata ikiwezekana mzuie kama hawez kusali kawaida tu kwa kumtegemea mungu aache tu

Ukipuuzia jiandae kwa mkeo kutumia kipato chake chote kanisani/ mkeo kutumia robo tatu ya muda wake wote kanisani( kukesha na kila weekend kushinda wakimsaidia nabii wao kazi) hapa mpaka kazi zake kama mke anasahau

Ukicheza anafikia hatua ya kuliwa kabisa!

Mara nyingi wengi wetu tumeshakutana na kesi za hivi! Mke anapeleka kila kitu kanisani vikiisha ndo anashtuka alikuwa anaibiwa!

Sijaongea hivi kuharibia wachungaji wa kilokole hapana ila na wao nawashauri waache kutumia imani kutapeli na kuvunja ndoa za watu

Tumieni imani kuokoa na kusaidia watu ili waje kuupata wokovu na sio kutumia imani kujitajirisha


Kwa nitakayemkwaza anisamehe lakini huu ndio ukweli

Nawasilisha!!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad