AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe amempongeza Muandaaji wa Mashindano ya BSS, Madam Rita kwa kitendo chake cha kuomba radhi kwa kuchelewesha malipo ya Mshindi wa BSS mwaka 2019, Meshaki Fukuta kitendo ambacho kilizua maneno maneno kutokana na mshindi huyo kuripoti kuwa hajalipwa stahiki yake.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK