Unaambiwa Mwigizaji The Rock Aongoza Kwenye Orodha ya Waigizaji wa Kiume Wanaolipwa Mkwanja Mrefu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


The Rock ameongoza kwenye orodha ya Waigizaji wa kiume ambao wamelipwa/wameingiza pesa nyingi kwa mwaka 2020 kwa muijbu wa Jarida la Forbes.

Orodha hiyo (Highest Paid actors of 2020) ya kuanzia June 2019 hadi June 2020, imemtaja kwa mara ya pili mfululizo The Rock kama kinara huku akiwa ametengeneza kiasi cha Dola za Kimarekani ($87.5M) ambazo ni sawa na zaidi ya TSH. Bilioni 200.

Baadhi ya pesa alizotengeneza ni lile dili la ($23.5M) kwa kuuza filamu ya Red Notice kwenye kampuni ya Netflix. Kiasi kingine kimeingia kupitia bidhaa yake ya mavazi ya kufanyia mazoezi na bidhaa zingine.

Hii hapa TOP 10
1. The Rock - $87.5M
2. Ryan Reynolds - $71.5M
3. Mark Wahlberg - $58M
4. Ben Affleck - $55M
5. Vin Diesel - $54M
6. Akshay Kumar - $48.5M
7. Lin-Manuel Miranda - $45.5M
8. Will Smith - $44.5M
9. Adam Sandler - $41M
10. Jackie Chan - $40M
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad