AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taasisi ya Moyo ya Marekani imetoa tafiti zinazoonesha kuwa uvutaji wowote unaathiri mapafu, mirija ya damu na moyo kwa ujumla
Utafiti wa hivi karibuni umeonesha bidhaa zote za bangi zinazotumika husababisha maradhi ya moyo ikiwemo mshtuko wa moyo na kiharusi
Tafiti hiyo inatoa tahadhari kwa yeyote anayetaka kutumia bangi hata kama ikiwa ameshauriwa na daktari, kujua madhara yake. Na hivyo wameshauri kutumia bidhaa za bangi ambazo zimehakikiwa kwa kuwa ubora wake una viwango elekezi
Marekani ni moja kati ya nchi ambazo bangi hutumika au hushauriwa kutumika kama dawa kwa baadhi ya maradhi, hivyo kuna bidhaa za bangi ambazo ni halali nchini humo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK