AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muandaaji wa Mashindano ya BSS, Madam Rita mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe ameomba radhi kwa kuchelewesha malipo ya Mshindi wa BSS mwaka 2019, Meshaki Fukuta. Madam Rita ameyasema hayo wakati akizindua msimu mpya wa shindano hilo la Bongo Star Search kwa msimu wa 11 ambapo Waziri Dkt Mwakyembe akiwa mgeni rasmi huku Meshaki Fukuta akiwa ni sehemu ya wasanii waliyopata nafasi ya kutoa burudani. VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK