AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Wilaya ya Geita Focus Mpogomi pamoja na Mwenyekiti wa Vijana wa chama hicho kata ya Buhalahala Mjini Geita, wamejivua nyadhifa hizo ndani ya chama chao na kujiunga na chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kile walichodai kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika za kuleta maendeleo nchini.
Baadhi ya viongozi wa UVCCM Wilaya ya Geita chini ya Mwenyekiti wake Manjale Magambo wamesema wanafahamu mchango wa viongozi hao walipokuwa Chadema na kwamba kuondoka kwao katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais inamaana Chama Cha Mapinduzi kimelamba dume.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK