Vyakula 5 Vinavyosaidia na Vinavyosababisha Tatizo la Kukosa Choo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kukosa choo ni tatizo kubwa katika jamii zetu japo huwa halionekani kama ni tatizo. Hata hivyo kuna vyakula ambavyo vinapatikana kwa urahisi na vinasaidia kutibu tatizo la kukosa choo kwa njia rahisi kabisa.

Kwa kawaida mtu mwenye afya njema anatakiwa kwenda chooni angalau mara tatu kwa siku,lakini si ajabu kusikia mtu hajaenda chooni siku tatu na tunaona ni kawaida sana kwenda chooni mara moja kwa siku.

Tatizo la kukosa choo (Constipation) linatokana na chakula tunachokula kuchelewa kuunguzwa tumboni hivyo kuchukua muda mrefu katika mfumo wa usagaji.

Baadhi Ya Vitu Vinavyosababisha Tatizo La Kukosa Choo:

Kutokunywa Maji ya Kutosha
Kutokula vyakula vyenye fiba kama matunda na mboga za majani
Ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi
Unywaji wa maziwa kupita kiasi
Kutofanya kaziza kushughulisha mwili na kukosa mazoezi.


Vyakula Vinavyosaidia Kutibu Tatizo La Kukusa Choo

Tende
Maji
Kahawa Na Vinywaji Vingine Vya Moto
Ulaji Wa Matunda Au Saladi
Ulaji Wa Mboga Za Majani


Mazoezi Husaidia Kutibu Tatizo La Kukosa Choo Pia:

Ukiachia vyakula, ufanyaji mazoezi au kazi zinazoshughulisha mwili zinazaidia kuzuia na kutibu tatizo la kukosa choo. Kufanya mazoezi kila siku angalau kwa dakika 30 ni jambo linalowezekana kama utalipa muda na kuweka katika ratiba zako.
Mazoezi rahisi kabisa ni kukimbia (jogging) na pia hushughulisha mwili mzima(Total Body Exercise).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad