Wanaotegemea NDUGU Walio Ulaya na Marekani Kukumbwa na Hali Mbaya Kiuchumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutokana na changamoto ya #COVID19 na hatua zilizochukuliwa ili kuepuka maambukizi zaidi ya janga hilo, watu waliokuwa wanawategemea ndugu zao walio nchi za Ulaya wamejikuta kuwa katika hali mbaya

Mchumi wa Benki ya Dunia, Dilip Rapha amesema kutakuwa na punguzo la 20% la pesa zilizokuwa zikitumwa kwa ndugu ambao ni tegemezi

Hii ni kutokana na watu hao walio nje kwa sasa wanahangaika kutafuta kazi kwa kuwa shughuli nyingi zimefungwa kutokana na janga la #COVID19
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad