AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wa Kariakoo wahuni sana, muulize Tshishimbi. Walianza Simba kwanza. Wakamjaza kama wanamtaka na yeye akajaa akaanza kudengua Jangwani. Watu wa Jangwani wakamjaza kama wanapambana kumbakisha na wakampatia pesa. Baadae wakageuza mawazo kimya kimya. Akagoma kusaini ingawa alikuwa na pesa zao. Wakamwambia arudishe wataongea upya kumbe wanajua ana tatizo kubwa la goti. Akarudisha pesa wakazichukua wameenda Congo kumchukua Tanombe Mukoko ambaye ni bora kuliko yeye.
Huku Simba alikotegemea wangemfukuzia wakamkalia kimyaaaa. Unamchukua Tshishimbi wa nini wakati una Fraga na Jonas ambao ni wamoto kweli kweli. Lakini Simba kwa jinsi wanavyojisikia hivi wanawezaje kumchukua mchezaji aliyetangazwa kuachwa Yanga?
Hatimaye akabaki hana pakwenda. Majuzi nasikia kapanda Ethiopian Airline kurudi kwao...hana hamu na wahuni wa kariakoo...sio watu wale. Pepo wataisikia tu.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK