Waziri Mkuu Majaliwa ampa siku saba Waziri Ndalichako

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa muda wa wiki moja kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako, kuhakikisha anakutana na wakuu wa vyuo vikuu nchini.

Majaliwa amesema akutana na vyo hivyo ili kubaini vyuo ambavyo vimeshindwa kuwasilisha mchango wa wanafunzi kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Imeelezwa kuwa wanafunzi wa vyuo wamelipa michango yao lakini mpaka sasa vyuo havijawasilisha NHIF.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad