AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa muda wa wiki moja kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako, kuhakikisha anakutana na wakuu wa vyuo vikuu nchini.
Majaliwa amesema akutana na vyo hivyo ili kubaini vyuo ambavyo vimeshindwa kuwasilisha mchango wa wanafunzi kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
Imeelezwa kuwa wanafunzi wa vyuo wamelipa michango yao lakini mpaka sasa vyuo havijawasilisha NHIF.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK