Waziri Ummy Walimu Apewa Tuzo kwa jitihada za Kukabiliana na Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amemtunuku tuzo maalum Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kutambua mchango wake na kuwakilisha Wanawake vizuri katika majukumu yake.


Waziri Ummy amepewa tuzo hiyo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) unaoendelea leo Tarehe 10 Agosti, 2020 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad