AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amemtunuku tuzo maalum Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kutambua mchango wake na kuwakilisha Wanawake vizuri katika majukumu yake.
Waziri Ummy amepewa tuzo hiyo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) unaoendelea leo Tarehe 10 Agosti, 2020 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK