AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa msanii Daimond Platinum, Sallam SK amefunuka kupitia kipindi cha REFRESH Kinachoruka wasafi tv ametoa ‘option’ kwa msanii yoyote anaetaka Kujitoa katika Lebo, kununua haki zake ikiwemo Channel ya YouTube , Account za Mitandao ya kijamii Pamoja na Umiliki wa Nyimbo ambazo amekua akizitoa kwa muda wote tangu alipopewa Mkataba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK