Yacoube Sogne asajiliwa rasmi yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



YACOUBA Sogne, raia wa Burkina Faso amemalizana na Yanga kwa ajili ya kutumikia kikosi hicho kilicho kwenye maboresho kwa ajili ya msimu wa 2020/21.

Nyota huyo ambaye alikuwa anakipiga Asente Kotoko ya Ghana amesaini dili la miaka miwili.


Sogne amesema kuwa anafurahi kuwa ndani ya kikosi cha Yanga ambacho anaamini ni njia yake ya kufikia mafanikio.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad