Zitto Kabwe 'Tutakata Rufaa NEC Kuhusu Wagombea Wetu Kuenguliwa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema kati ya Wagombea 218 wa chama hicho katika majimbo yote nchini, wagombea 40 hawakuteuliwa kabisa, wagombea 22 wameenguliwa kwa mapingamizi Tanzania Bara na 14 Zanzibar (9 Pemba)

Zitto Kabwe ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba Chama chake kitafuata taratibu zote za kisheria kudai haki

Pia amedai wanaunga mkono tamko la Mwenyekiti wa chama hicho pamoja Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwamba lazima wadai haki ya wagombea wao na usawa katika Uchaguzi kutokana na wagombea wengi wa vyama vya upinzani kuenguliwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad