Zitto: Wananchi Wanalalamika Malipo yao Kwenye zao la Ufuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema wananchi wa kijiji cha Nanjilinji wamelalamikia kutolipwa fedha zao za mazao.

Zitto aliandika ujumbe huo katika akaunti yake ya Twitter kuwa jana jioni alizungumza na wananchi wa kijiji hicho na kuanza kulalamikia fedha zao katika zao la ufuta.

“Katika hii huzalisha zaidi ya tani 4,000 za ufuta kwa mwaka wenye thamani ya zaidi ya sh bilioni kwa mwaka,” aliandika Zitto.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad