AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imerudisha safari za kawaida kati ya Dar es salaam (Tanzania) na Hahaya (Comoro) kuanzia 8/9/2020.
ATCL itafanya safari zake mara mbili kwa wiki, siku ya Jumanne na Jumapili. Abiria wote wanaotarajia kusafiri kwenda Comoro wanahitajika kuwa na cheti maalum kinachothibisha kuwa wamefanya vipimo vya COVID-19 na wajiandikishe katika ubalozi wa Comoro kabla hawajanunua tiketi.
ATCL wanawashukuru sana wateja wao kwa kundelea kuiamini Air Tanzania na kuendelea kutumia huduma zake popote pale tunaporuka.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK