Baada ya Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli Kujikusanyia Kijiji Jana Chato, Leo Kituo Kinachofuata ni Bukoba Mkoani Kagera

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 ya Awamu ya Pili ya Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Zinaendelea kutimua Vumbi Mara Baada Ya Kujikusanyia Kura za Uhakika CHATO jana mara hii zimetia nanga Bukoba Mkoani Kagera leo Septemba 15 Kwenye Viwanja vya Gymkana. Ni Muendelezo wa Kunadi Sera na Ilani ya CCM inayoenda kutekelezwa kwa Miaka Mitano ijayo pamoja na Kufurahia Mafanikio ya Miaka 5 na Uchumi Wa Kati. @ccmtanzania @magufulijp

#KuraKwaMagufuli2020

#T2020JPM

#VoteForCCM

#VitendoVinaSauti





-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad