Binti Aliyekatwa Miguu kwa Wakati Mmoja Asimama Tena, Apata Miguu Mingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jackline Shirima ni msichana aliyeugua ugonjwa wa Gancrine nakupeleka kukatwa miguu yote miwili kwa wakati mmoja lakini miezi sita iliyopita aliomba msaada kupitia Ayo tv ili aweze kusaidiawa kupatiwa miguu ya bandia


Good news ni kwamba binti huyo amefanikiwa kupata miguu hiyo ambayo imegharimu zaidi ya shilingi million nane ambazo zimechangwa na watu mbalimbali


“Namshukru Mungu nimepata hii miguu ilikuwa siwezi kutembea nikitaka kutoka nje ilikuwa lazima nibebwe,natamani sasa hivi nifanye biashara wakala wa  mitandao ya simu kwa kuwa nitakuwa nakaa nakufanya kazi za mikono maana siwezi kutembea umbali mrefu”-Jack
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad