AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita, amepoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga huku wengine watano wakiwa wanaendelea na matibabu katika Kituo cha Afya Katoro.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK