CCM Kuanza Kutumia Helikopta Kwenye Kampeni zake..Tazama Picha zake Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeonesha Helikopta ambayo inatarajiwa kutumiwa na Chama hicho kwenye Round nyingine ya muendelezo wa kampeni zake ikiwa ni siku kadhaa tu toka Katibu Mkuu wake Dr. Bashiru Ally kusema yafuatayo hapa chini.



“Tutakuwa na mizunguko sita ya kampeni, tumemaliza round ya kwanza sasa tunaingia round ya pili ambayo itakuwa nzito kuliko ya kwanza, tukifika round ya sita tutafahamiana zaidi“

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad