AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeonesha Helikopta ambayo inatarajiwa kutumiwa na Chama hicho kwenye Round nyingine ya muendelezo wa kampeni zake ikiwa ni siku kadhaa tu toka Katibu Mkuu wake Dr. Bashiru Ally kusema yafuatayo hapa chini.
“Tutakuwa na mizunguko sita ya kampeni, tumemaliza round ya kwanza sasa tunaingia round ya pili ambayo itakuwa nzito kuliko ya kwanza, tukifika round ya sita tutafahamiana zaidi“
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK