Country Boy Akabithiwa gari na Harmonize Banda ya Kujiunga Konde Gang

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo fleva ambaye ni Rapper Country Boy ameongea kwa mara ya kwanza akiwa chini ya lebo ya Konde Gang iliyopo chini ya Harmonize mara tu baada ya kutambulishwa na kukabidhiwa gari lake mpya.


Country Boy anakuwa msanii wa 6 katika lebo hiyo kwani tayari yupo Harmonize, Ibrah, Skales, Cheed na Killy waliotambulishwa siku kadhaa nyuma na sasa Country boy. Hizo gari mbili kama zinavyoonekana hapo moja ni ya Country boy na nyiingine ya Ibrah.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad