Diamond na Mimi Mars Mambo ni Moto...Diamond Afunguka Hisia zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa Bongo Fleva @diamondplatnumz ameamua kuanika hisia zake kwa msanii mwenzake @mimi_mvrs11 kupitia ukurasa wa Instagram


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond amepost video ya Mimi Mars akiwa anaimba wimbo mpya wa @officialzuchu na kuandika "Mimi nakapendaga sana haka katoto.... Sema sijui hata timing naikoseaga wapi mwana wa Dangote.. Dooh"


Ikumbukwe kuwa Diamond Platnumz kwa sasa yupo Single baada ya kubwagana na baby mama wake @tanashadonna  

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad