AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MREMBO asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amesema kuwa katika maisha yake, hajawahi kurudiana na mwanaume aliyeachana naye.
Akipiga stori mbili tatu na Risasi Vibes, mwanamama huyo alisema hapa duniani kuna wanaume wengi wanaojua thamani ya mwanamke, hivyo haoni sababu msichana aanze kupata shida kwa mwanaume mmoja kila siku.
“Binafsi nikishaachana na mwanaume, ndiyo inakuwa imetoka hiyo, yaani kwa ufupi siwezi kurudiana na ex wangu zaidi ya mara mbili, wakati kuna wanaume wengine wazuri na wanaojua thamani ya mwanamke,” alisema Gigy
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK