Gigy Money Sirudiani na Mwanaume Nikiachana Naye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MREMBO asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amesema kuwa katika maisha yake, hajawahi kurudiana na mwanaume aliyeachana naye.

Akipiga stori mbili tatu na Risasi Vibes, mwanamama huyo alisema hapa duniani kuna wanaume wengi wanaojua thamani ya mwanamke, hivyo haoni sababu msichana aanze kupata shida kwa mwanaume mmoja kila siku.

“Binafsi nikishaachana na mwanaume, ndiyo inakuwa imetoka hiyo, yaani kwa ufupi siwezi kurudiana na ex wangu zaidi ya mara mbili, wakati kuna wanaume wengine wazuri na wanaojua thamani ya mwanamke,” alisema Gigy

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad