Gwajima "Mimi si Kilaza, Nilienda Marekani Mwaka Jana, Nimeandika Vitabu 5 Kwa Kijapani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Akiwa kwenye kampeni, Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima amesema Mwaka jana alitembelea Marekani na watu wasifikiri kwamba yeye ni kilaza kwasababu anaongea Kijapani ameandika vitabau 5 vya Kijapani na vinauzwa Amazon

Amesema kuwa "Nikichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe nitaweka Ambulance kwenye kila Kata, watu wangu watakimbizwa Hospitalini kwa haraka na jambo hili ni jepesi halihitaji Manispaa wala halihitaji Serikali"

Ameongeza kuwa, "Nataka kufuta ile dhana ya kuwaza tunapata Askofu Mbunge, unapata chombo au mashine ya kusaga na kukoboa. Nawatumia salamu wanaomtukana Dkt. Magufuli".
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad