AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiwa kwenye kampeni, Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima amesema Mwaka jana alitembelea Marekani na watu wasifikiri kwamba yeye ni kilaza kwasababu anaongea Kijapani ameandika vitabau 5 vya Kijapani na vinauzwa Amazon
Amesema kuwa "Nikichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe nitaweka Ambulance kwenye kila Kata, watu wangu watakimbizwa Hospitalini kwa haraka na jambo hili ni jepesi halihitaji Manispaa wala halihitaji Serikali"
Ameongeza kuwa, "Nataka kufuta ile dhana ya kuwaza tunapata Askofu Mbunge, unapata chombo au mashine ya kusaga na kukoboa. Nawatumia salamu wanaomtukana Dkt. Magufuli".
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK