AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Sisi kwenye Ubunge hatukuja kuganga njaa, tumekuja kuwatumikia Wananchi, tulishajaza makapu yetu tunataka tutoe kilichondani ya makapu pamoja na cha CCM tuwape Wananchi ili wawe na maisha mapya, tuone furaha tena Kawe" - Ameyasema Hayo Askofu Gwajima kwenye uzinduzi Kampeni leo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK