Harmonize Amlipa Producer wa Ngoma ya Rosa Ree Kanyor Aleng Baada ya Kuchukua Beat Bila Ruhusa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Producer wa wimbo Kanyor Aleng wa @rosa_ree , @ibrah_jacko amelipwa pesa zake na @harmonize_tz baada ya Rais huyo wa label ya @kondegang kutumia beat ya wimbo huo kwenye wimbo wake, Amen bila makubaliano.


Mapema wiki hii mwanasheria wa COSOTA, Lupakisyo Mwambinga aliiambia Bongo5TV kwamba moja ya kesi walizozisimamia na zimeisha salama ni ile ya producer Ibrah kudai beat yake ambayo aliitengeneza kwaajili ya wimbo Kanyor Aleng wa @rosa_ree kutumiwa na @harmonize_tz bila makubaliano.


Bongo5TV baada ya kumtafuta producer huyo alikiri kupipwa na Harmonize na kueleza jinsi ilivyokuwa.


Kwa upande wa manasheria wa COSOTA amewataka wasanii kuacha kufanya kazi na maproducer bila mikataba ili kuepuka migogoro.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad