AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi (WCB), Zuhura Kopa ‘Zuchu’ amekanusha vikali skendo ya kutoka kimapenzi na Bosi wake Diamond Platnumz na wala haishi mjengoni kwa Mondi kama ambavyo watu wamekuwa wakisema.
Hii imekuja baada ya watu kuona ukaribu wao na jinsi ambavyo bosi wake huyo anavyotumia nguvu nyingi kumpromote tofauti na wasanii wengine alionao kwenye WCB.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK