google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Hatimaye Zuchu Avunja Ukimya Ku-date na Mondi | UDAKU SPECIAL

Hatimaye Zuchu Avunja Ukimya Ku-date na Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi (WCB), Zuhura Kopa ‘Zuchu’ amekanusha vikali skendo ya kutoka kimapenzi na Bosi wake Diamond Platnumz na wala haishi mjengoni kwa Mondi kama ambavyo watu wamekuwa wakisema.

Hii imekuja baada ya watu kuona ukaribu wao na jinsi ambavyo bosi wake huyo anavyotumia nguvu nyingi kumpromote tofauti na wasanii wengine alionao kwenye WCB.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad