Inasikitisha Sana Lakini Inatia Moto....Soma Kisa Hichi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kijana mmoja wa miaka 24 alikuwa akisafiri yeye na wazazi wake, toka Ifakara kwenda Mlimba kwa usafiri wa treni. Sasa alipojaribu  kuangalia katika dirisha la treni, Mara akahamaki....... _

Akasema:

"Baba angalia, miti inarudi nyuma, tena inarudi Kwa kasi sana.....🌲🌲!!!"


Baba yake akamwangalia Kwa furaha kisha akatabasamu! 


Pembeni kidogo palikuwa na wapenzi wawili waliokaa karibu nao, Wakamuangalia yule kijana wa miaka 24  nakuanza kusemezana wenyewe: "Baby umemsikia uyo kaka, mbona ni mkubwa sana ila anatabia zakijinga ivyo?!"


"Nashangaa ata Mimi, lazima atakuwa anamatatizo ya akili, ndio maana hata Baba yake ahangaiki naye.!"


Waliongea wenyewe.


Ghafla yule kijana akashangaa tena.......!!! Akasema..... "Baba, angalia mawingu nayo yanakimbizana na sisi pia ...☁!!"


Basi wale wapenzi wawili wakashindwa kuvumilia, wakaamua kumwambia yule mzee. 


"Kwanini usimpeleke kijana wako Kwa daktari mzuri, pengine anamatatizo ya akili..?" 

Yule mzee akawaangalia kisha akatabasamu kisha akasema:

"Ndio nimefanya hivyo, hapa tumetoka Kwa daktari pale St. Fransi, ila sio wa akili..!"


Akatulia kidogo kisha akaendelea kusema:

"Mwanangu alizaliwa kipofu, na ameishi akiwa kipofu kwa miaka yote 24. Lakini leo MUNGU ameingilia kati kamfungua macho, na ndio siku yake ya Kwanza kuona kwaiyo tabia zake zinaweza kuwa zakijinga na kero kwenu, ila kwangu ni zaidi ya muujiza ambao sikutegea kabisa...asante MUNGU..!!"


Wale wapenzi wawili wakatulia tulii na kuishiwa maneno huku wakibubujikwa na machozi na aibu machoni mwao huku wameinamisha vichwa vyao chini...! 😭😢


NAKUKUMBUSHA MDAU


Kila mtu katika DUNIA hii ana historia yake, usimuhukumu mtu haraka ikiwa hujui ametokea wapi na amepitia mangapi. Kwani endapo ukijua ukweli wa maisha yake Unaweza kukushangaza, nakukuacha mdomo wazi.  Waheshimu nakuwachukulia wepesi wenzako hata kama wewe una maisha mazuri, kumbuka MWISHO wetu sote ni aridhini. (KIFO) 


NAKUOMBEA NA WEWE MUNGU AKUTENDEE MUUJIZA WA ILO TATIZO LAKO, HAIJALISHI UMEKAA NALO MUDA MREFU KIASI GANI. 

_

Sema "AMEN" Kama Umeguswa.🙏🙏  - #regrann  Reposted from @udakutz_  -  INASIKITISHA SANA LAKINI INATIA MOYO.🙏


Kijana mmoja wa miaka 24 alikuwa akisafiri yeye na wazazi wake, toka Ifakara kwenda Mlimba kwa usafiri wa treni. Sasa alipojaribu  kuangalia katika dirisha la treni, Mara akahamaki....... _

Akasema:

"Baba angalia, miti inarudi nyuma, tena inarudi Kwa kasi sana.....🌲🌲!!!"


Baba yake akamwangalia Kwa furaha kisha akatabasamu! 


Pembeni kidogo palikuwa na wapenzi wawili waliokaa karibu nao, Wakamuangalia yule kijana wa miaka 24  nakuanza kusemezana wenyewe: "Baby umemsikia uyo kaka, mbona ni mkubwa sana ila anatabia zakijinga ivyo?!"


"Nashangaa ata Mimi, lazima atakuwa anamatatizo ya akili, ndio maana hata Baba yake ahangaiki naye.!"


Waliongea wenyewe.


Ghafla yule kijana akashangaa tena.......!!! Akasema..... "Baba, angalia mawingu nayo yanakimbizana na sisi pia ...☁!!"


Basi wale wapenzi wawili wakashindwa kuvumilia, wakaamua kumwambia yule mzee. 


"Kwanini usimpeleke kijana wako Kwa daktari mzuri, pengine anamatatizo ya akili..?" 

Yule mzee akawaangalia kisha akatabasamu kisha akasema:

"Ndio nimefanya hivyo, hapa tumetoka Kwa daktari pale St. Fransi, ila sio wa akili..!"


Akatulia kidogo kisha akaendelea kusema:

"Mwanangu alizaliwa kipofu, na ameishi akiwa kipofu kwa miaka yote 24. Lakini leo MUNGU ameingilia kati kamfungua macho, na ndio siku yake ya Kwanza kuona kwaiyo tabia zake zinaweza kuwa zakijinga na kero kwenu, ila kwangu ni zaidi ya muujiza ambao sikutegea kabisa...asante MUNGU..!!"


Wale wapenzi wawili wakatulia tulii na kuishiwa maneno huku wakibubujikwa na machozi na aibu machoni mwao huku wameinamisha vichwa vyao chini...! 😭😢


NAKUKUMBUSHA MDAU


Kila mtu katika DUNIA hii ana historia yake, usimuhukumu mtu haraka ikiwa hujui ametokea wapi na amepitia mangapi. Kwani endapo ukijua ukweli wa maisha yake Unaweza kukushangaza, nakukuacha mdomo wazi.  Waheshimu nakuwachukulia wepesi wenzako hata kama wewe una maisha mazuri, kumbuka MWISHO wetu sote ni aridhini. (KIFO) 


NAKUOMBEA NA WEWE MUNGU AKUTENDEE MUUJIZA WA ILO TATIZO LAKO, HAIJALISHI UMEKAA NALO MUDA MREFU KIASI GANI. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad