Jakaya Kikwete: Sijamwacha Mke Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



RAIS Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hajamuacha mkewe, Mama Salma Kikwete kama baadhi ya watu ambavyo wamekuwa wakisema kuwa ameuacha ndiyo maana ‘anahangaikia ubunge.’

Kikwete amesema hayo akiwatania wakwe/shemeji zake wa Lindi ambako ndiko nyumbani kwao na Mama Salma wakati wa kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad