AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naamini kuwa wengi wetu tunafahamu umuhimu wa kunywa maji na tumekuwa tukisikia kutoka kwa wataalam wa afya kuhusu faida zake kiafya.
Sasa leo napenda tufahamu muda gani au wakati gani si sahihi kunywa maji:-
1. Hupaswi kunywa maji punde tu unapomaliza kazi au kukimbia.
2. Unaporudi tu kutoka kwenye shughuli zako
3.Hupaswi kunywa maji mara tu umalizapo kupata kifungua kinywa (chai) au kula chakula.
4. Pia hutakiwa kunywa maji katikati ya kifungua kinywa (chai) mlo.
Je, ni wakati gani sahihi kwa kunywa maji ?
1. Wakati tumbo lako halina kitu na unajiandaa kupata chakula.
2. Angalau saa 1 kabla ya kula au baada ya kula
3. Mara tu unapoamka asubuhi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Its a good one
ReplyDelete