JPM: Mbeya Hamkuwa na Mbunge, Mlikuwa na Msanii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli, leo Septemba 30, 2020 amewaambia wananchi wa Mbeya kwamba hawakuwa na mbunge wa kuwasemea bali walikuwa na msanii (Joseph Mbilinyi, Sugu), na ambaye si mkali kama kina Diamond na Alikiba.


Ameongeza kuwa vijana wa kiume hupenda kuwa na ‘mshikaji’ wa kike, hivyo amewaomba wananchi hao wamchague mgombea ubunge wa kike atakayewasemea ambaye ni Tulia Ackson.


Aidha, amesema kwa kuwa Jiji la Mbeya lina wilaya moja, ataongeza wilaya nyingine ili ziwe mbili.


 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad