Kanye West na Kim Kardashian Wamekutana Kuyamaliza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Kanye West na Kim Kardashian wamekutana kuyamaliza? Jana inaripotiwa huwenda walikuwa pamoja wakijumuika kupata chakula cha usiku.

Alikuwa ni Kanye ambaye alituambia kupitia twitter kwamba anapata chakula cha usiku, akiwa na mtu "Dinner for 2" na wengi kuamini kwamba atakuwa alitoka na mkewe Kim Kardashian ambaye hivi karibuni ameripotiwa kuitaka talaka yake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad