AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kanye West na Kim Kardashian wamekutana kuyamaliza? Jana inaripotiwa huwenda walikuwa pamoja wakijumuika kupata chakula cha usiku.
Alikuwa ni Kanye ambaye alituambia kupitia twitter kwamba anapata chakula cha usiku, akiwa na mtu "Dinner for 2" na wengi kuamini kwamba atakuwa alitoka na mkewe Kim Kardashian ambaye hivi karibuni ameripotiwa kuitaka talaka yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK