AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kigwangala Amuwashia Moto Moo Dewji kuhusu usaji wa CEO Mpya Simba
Hapa Kingwangalla @hamisi_kigwangalla anahoji kuhusu vitu kadhaa vikiwemo uzoefu wa CEO. Ameongeza zaidi kuomba CV ya Senzo akimaanisha ni mtu mzoefu kwenye soka. Nitai post CV ya Senzo kwenye post inayofuata.
.
Pia amehoji utaratibu uliotumika kumpata na alishindanishwa na nani hadi kumpata yeye kama CEO.
.
Wadau wa michezo wenye uwezo wa kujenga hoja tu, naomba mtoe maoni yeni pia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kachoka kuipigia debe ccm. sasa anatafuta kiki na Moo..
ReplyDelete