AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa Dira ya Dunia ya BBC Salim Kikeke amewasiliana na Mbwana Samatta ambaye ameeleza kweli yupo Uturuki lakini hajasaini Fenerbahce yupo kwenye mazungumzo.
”Nimechat na Captain Diego @Samagoal_77 amethibitisha yuko Uturuki na majadiliano yanafanyika lakini bado hajasaini”>>> Salim Kikeke
Samatta anaenda kwa mkopo Fenerbahce baada ya kukosa nafasi katika kikosi cha Aston Villa ambapo kwa sasa wamesaini wachezaji watatu wapya katika nafasi yake, kocha Dean Smith wa Aston Villa alinukuliwa akisema Samatta alimuacha katika mchezo dhidi ya Sheffield sababu hakuwa fiti ni utaratibu wa kawaida.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK