Kizazi cha Wanaume Wahongaji Chapotea Taratibu, Kizazi cha Wanaume Bahili Chashika Chati kwa Kasi!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenzangu IS IT JUST ME AU NDO GAME LIMECHANGE SIKU HIZI? Au ndo nimeshakuwa mbuzi mzee bila taarifa? Naaaaaaah! Wanaume mnakoelekea siko. SIKO SIKO KABISAAAAA! Whats up with the NEO COLONIALISM? Msisahau nyie ni Waafrica, mambo ya kuiga iga uzungu unaweza jikuta unaunga mkono harakati za Cameroon bila kujijua.

Tukiangalia history kidogo ya uhongaji na ulaji bata TZ na Africa kwa ujumla utagundua vijana wa zamani au wazee wa leo wlikuwa in their 20's - 40's miaka ya 70 ndo walikula bata batani. Wanawake walifaidi vibaya mnoo. Hata mipedeshee inayohonga sana mjini hapa ni ya vijana wa early 70's manake uchumi ndo ulikuwa umekolea mahala pake, mambo ya ndustrial substitution program, mikazi ya kumwagaaaaaaaa! Kwenda nje kama kwenda chooni tu, ukimaliza kozi hii unaenda hi. Kanisa nalo ndo llimwaga mischolarship, transition ile raisi mwenyewe janki tu. Vijana walikula bata batani. Starehe ilikuwa enzi hizo, saivi kuosha macho tu, Marijaniiii alihamia mtaa wa 7 Baraka mwishee na marashi ya pemba, Jojinaa oooh jojinaaaaaaa! Acheni kabisaaa.

Late 70's ikapita vita vya kagera hapo, mambo yakawa si mambo, devaluation of currency ikafuatia, na Economic depression ya 1980's bata kidogo lilisitishwa na nchi ikaingia crash program. Maisha yalivaa bukta kidogo. endi zikafa zikafa, ndo maisha yakawa ki communist. Bata lilianza kusahaulika, vijana wakakimbilia kuiona bahari,wengine ndo wakazamia us uk, dubai n.k.

Alhamdullilah miaka ya 1990's bata lilirudi kwa kasiiii! Mashallah na mie nilikua dogo tu primary ila bata nililifaudu kidogo. Maisha yakawa si haba. Vijana 1990's pia bata waliligegedua. Na vijana sio haba wanawake walifaidi sio masikhara. Wengi walikuja mjini na mbio za mwenge na malori kuolewa 1990's. Na ugolkipa enzi hizo 1990's haikuwa big issue kabisaa.

2000 mpaka leo hali inazidi kuwa BORA YA JANA NA JUZI! Kizazi cha wanaume BAHILI kinasambaa kwa kasi mnooo. Mnoo mnooo! kHAAA! Tena hawa wadogo ndo balaaaaaaa! Sijui binti zetu wataishije. Looooooooh! Ndo maana watu wanajiweka kwa vizee, vijana wa 1970's na 1990's

Nimeuwa alarmed sabab juzi ki cousin changu 21, kimenialika na Bf wake out, sipendi kuwadoea watoto lakini a sster needs to be Polite, basi BF anamwambia live ALIPE? Na chenyewe kinalipa!? Kidogo nimnas mambao! Eti kaniambia IM OLD SCHOOL, siku hzi ukiwa tegemezi hupati BF wa ukweli!!!!!!!!! WTF? Damnnnnnnn! Nikasema YOUNG LOVE! She will GROW OUT OF IT IN NO TIME! Chezea jiji hili.

Next shosti wangu ananikopa like 3m, na sio kawaida yake manake ni BAHILI hatari. Nikawa curious tu nikamuuliza za nini kam ni emergency nikukopee kwa loan sharks. Akaniambia Baba D (Mume wa mtu ila wamezaa na huyu shosti wangu) ndo anamuomba ampige tafu! I was like IM REALLY GETTING OLD SCHOOL! Say whaaaaaaat? Nikamwambia maybe its about time you REPENT AND RETURN TO CHURCH! Haya mambo ya mume wa mtu, you have waited for so long, the kid ana 4yrs hajamuacha mkewe, hatoaa amuache, you shuld come to terms na hilo uanze kudate, u aint too old, God is mercyfull anaweza kukupa mumeo. (Not that i care she repents or not ila kuzaa na mume wa mtu na wewe kumuhudumia huyo mwanaume IT IS INSANITY! of the highest order too.)

Siku hizi hata waume za watu sio SAFE ZONE tenaa! Nako kuna KUSAIDIANA. Mmmh! KALI A MWAKA! Shosti yangu kaja kuniomba ushauri, ana BF (A very good man, will make best husband ever) wana date 5 YRS, Sasa ndo kaja kumwmbia anataka amuoe ila HELA YA HARUSI HANA/ MSICHANA NDO AFINANCE MCHONGO MZIMAA! Wooo! Woo! Woo! Yaani mwanaume anataka na ana nia ya dhati ya kumuoa ila bank hana hata mia!! Loh! So bibie ndo asimamie SHOW YOTE! Hela ikitakiwa kuanzia mahari, utambulisho, harusi, gauni lake ETC. Hata ya mwaname kwenda nayo kuanzisha kamati. Na kitachopelea kwenye kamati ajipange mdada! Mm!!! Msichana akamwambia NITAFIKIRA! (Uwezo wa kufanya hivo anao ILA IS IT RIGHT JAMANI? IS IT FAIR? Ujigharamie mpaka pete yako ya harusi.? Ndo idea yenu ya mgawanyo wa majukumu??) Mama mkwe akampigia anampa budget a utambulisho huko kijijini Mil 2? Yaaani msichana awatumie ili wajiandae akatambulishwe!!! LIKE SERIOUSLY! Mimi nibakia tu SPEECHLESS! Manake nikita neno wakaoana wasije ninyima chansi la kusimamia bureee!

KIZAZI HIKI CHA WANAUME CHANITISHA NA KUNIOGOFYAAAAAAAAA!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad