Komando Jide Alivyoingia Mlimani City Kimadaha Shoo Ya Miaka 20

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee au Komando leo aliingia kimadaha ya aina yake ndani ya Ukumbi wa Mlimani City Dar ambapo kulikuwa na shoo yake ya kutimiza miaka ishiriki kwenye gemu.



Jide alivyowasili eneo la tukio.

Katika shoo hiyo, Jide aliimba nyimbo zilizowahi kutamba enzi hizo wakati mwingine akisaidiwa na wakongwe wenzake na kufanikiwa kufunika ile mbaya kwenye shoo hiyo.


Akiwa kwenye pozi la picha alipokuwa red carpet

Miongoni mwa wakongwe waliomsindikiza Jide ni pamoja na TID, AY, Domokaya, Joh Makini na wengineo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad