Kusah: Aunt Ezekiel Hana Mimba Yangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya hivi karibuni kuhusishwa kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Aunty Ezekiel, msanii wa Bongo Fleva, Kusah, amekanusha suala hilo huku akisema hajui limetokea wapi.

Kusah amesema:- “Kwanza kabisa maneno mi nayasikia, lakini mimi Aunty Ezekiel sio mpenzi wangu na hana ujauzito wangu na sijui hata hivyo vitu vinatokea wapi.  Labda kwa sababu ananisupport, lakini hakuna kitu chochote kinachoendelea kati yetu,” alisema.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad