Magufuli Amvulia Kofia Harmonize...Meneja Wake Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki na bosi wa lebo ya Konde Gang Music Worldwide Rajab Abdul ‘Harmonize’ amefunguka kupewa heshima ya kofia na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli, kwenye kampeni wilayani Chato, Geita.

Harmo amesema kuwa ni heshima kubwa kwake na amefurahi kutokana na jinsi Rais John Pombe Magufuli alivyomuheshimu.

 
Kupitia meneja wake Beauty Mmari ‘Mjerumani’ akizungumza na Global Publishers amesema kuwa ni heshima kwao na ni kitu kizuri.

‘Ni kitu kizuri tunashukuru na mwendelezo wa mheshimiwa wa rais kutambua mchango wa kazi za vijana na kuwakubali katika kazi zao, pia tumepokea kwa heshima kubwa na rais akifanya chochote juu yako ni heshima kubwa kupitia hilo milango itafunguka.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad