Majibu ya Harmonize Kuhusu Tuhuma za Kuanguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Suala ambalo lipo trending kwa sasa mitandaoni na midomoni mwa wapenzi wa burudani ni kuhusu tuhuma za kuanguka kwenye kamba kwa msanii Harmonize wakati anafanya show siku ya Wananchi ya Uwanja wa Benjamin William Mkapa.


Baada ya tukio hilo kutokea limegusa hisia za watu wengi na kila mtu kusema lake ambapo yeye mwenyewe ametumia 'freestyle' na kuachia mistari ambayo inalenga  kuwachana wale wote waliomdiss baada ya kuanguka kwake.

"Wanasambaza eti Konde ameanguka kamba haishukwi kama baiskeli, wanaona donge hao wanyonge, tunavyoua kwenye show wao wanaona donge, Konde akishuka na kamba wanaona donge hao"

Baadhi ya wasanii wengine waliofanya show kwenye kilele cha siku ya Wananchi kwa timu ya Yanga ni Madee, Maarifa, Billnass, G Nako , Shilole, Baba Levo na Mzee wa Bwax.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad