Makamu wa Rais Anusurika Kuuawa kwa Bomu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MAKAMU wa Rais wa Afghanistan, Amrullah Saleh, amenusurika kifo baada ya watu wanaosadikiwa kuwa wapiganaji wa kundi la Taleban, kushambulia msafara wake asubuhi ya leo, Septemba 9, 2020, jijini Kabul.

Takribani watu kumi, wakiwemo wasaidizi wa karibu wa makamu huyo wa rais huyo, wamepoteza maisha katika shambulio hilo huku makamu huyo wa rais akipata majeraha madogo usoni na mikononi.

Shambulio hilo limekuja wakati serikali ya Afghanistan ikiwa inajiandaa kuanza mazungumzo na wapiganaji wa Taleban.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad