Mama Cookie Aapa Kuzaa Mpaka Baasi!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamama mkali kunano Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson Jujuman ‘Mama Cookie’, ameapa kuzaa mpaka baasi, huku akitanabaisha kuwa, kikubwa anachoangalia anazaa na nani, kwani hana mpango wa kuolewa.


Aunt ameliambia Gazeti la IJUMAA kuwa, watu wengi wamekuwa wakishangazwa na yeye kubeba mimba na kutaka kumchunguza yeye na kusahau maisha yao ya kila siku.


“Kwenye akili yangu, sina mpango kabisa wa kuolewa. Mpango wangu ni kuzaa mpaka baasi, mpaka kieleweke maana nimeshaona wazi, nikibeba mimba watu wanakuwa bize kuchunguza nimeipata wapi, ni ya nani?


Basi inakuwa ni vurugu tupu, wakati mimba ni baraka na tabasamu kwa kila mwanamke,” amesema Aunt ambaye ni mama kijacho, huku akiwa na mtoto mwingine aliyezaa na Moze Iyobo ambaye ni dansa wa Lebo ya WCB

STORI:IMELDA MTEMA, IJUMAA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad