Mbaroni Kwa Kuwaunguza Watoto wa Kambo Kutokana na Kula Samaki wa Wageni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la Polisi linamshikilia Ester John, kwa tuhuma za kuwaunguza watoto wawili wa kambo kwa kudai kuwa walikula samaki walioandaliwa kwa ajili ya wageni

Katika tukio hilo, Ester anatuhumiwa kuwaunguza kwa maji ya moto watoto hao wenye umri wa miaka 8 na mwingine wa miaka 4. Baada ya kuwaunguza aliwafungia ndani bila kuwapa msaada wa matibabu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad