AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi linamshikilia Ester John, kwa tuhuma za kuwaunguza watoto wawili wa kambo kwa kudai kuwa walikula samaki walioandaliwa kwa ajili ya wageni
Katika tukio hilo, Ester anatuhumiwa kuwaunguza kwa maji ya moto watoto hao wenye umri wa miaka 8 na mwingine wa miaka 4. Baada ya kuwaunguza aliwafungia ndani bila kuwapa msaada wa matibabu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK